Skip to main content

Boys In The Cave by Donasian Michael


This plays, BOYS IN THE CAVE, emanates how education status can lead people to poverty.
Being in schools doesn't mean you are educated enough to face the life puzzle. There is great distinction that dermacate school life from real life.
People need to know the actual meaning of education in order to reach life goals.
The education system should not put anyone in the cave and mislead ones mind rather it should prepare scholars to face the real world.

Comments

Popular posts from this blog

Wewe Ni Mteule - Abel Ngeleja

Kitabu hiki cha Wewe ni mteule,Kimelenga kumuhamasisha kijana aliyeko chuoni kuzipigania ndoto zako,kumuandaa kuwa Mkombozi wa taifa lake na ulimwengu kwa ujumla,na kumuandaa kifikra na kimatendo kupambana na changamoto za kimaisha na ajira  awapo  chuoni na baada ya kumaliza chuo, Yote hayo na mengine mengi,yamebebwa katika sura mbali mbali kama vile: 1.Karibu chuo 2.Utakumbukwa kwa lipi? 3.Maswali muhimu unayopaswa kujiuluza unapofika chuo tu 4.Wewe ni mteule 5.Kuna maisha baada ya chuo 6.Masomo ambayo hayafundishwi chuo, 7.Majuto ya wahitimu wa vyuo,n.k Pia kitabu hiki kimesheheni mazoezi kwa vitendo yatakayomsaidia msomaji kuwa makini anapokisoma.

Face Of The Sun - S. M Mbagati

Face of the sun is a collection of prose and poems about Love, lose and hope. The reason I wrote that book is to highlight the role of youthful in most part of the world. Read it,  hope you will enjoy.